Kasheshe,
Mwakyembe aliposema shirika ni la Walalahoi ana maana ni shirika na wazawa, wazalendo, wananchi na sio mgeni toka nje!..
Kifupi tuache yoteee haya nam quote 911 kwa maelezo yake machachei na mazito sana..
-TANESCO walishasema wamejitoa kwenye Dowans,
-Ngeleja alisema serikali haitanunua mitambo ya Dowans,bali wataagiza mingine ya MW 150,pia akasema ANAUFUNGA MJADALA WA DOWANS....
-Spika alisema TANESCO isije ikanunua mitambo ya Dowans,
-Thisday wameandika kuwa imeweka collateral,
-Kanuni za manunuzi ya umma haziruhusu ununuzi wa mitambo chakavu
-CHECHE imedokeza kuwa Portek haina hisa Dowans Tanzania Ltd
-TANESCO/Ngeleja wanasema hali ya maji ktk mabwawa unakozalishwa umeme.Hivyo udharura wa nchi kuingia gizani haupo.
Sasa sijui hawa wanataka kuzungumzia nini?Im confused! - MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!