Pre GE2025 Mkutano wa Wadau wa Habari kuhusu Wajibu wa Vyombo vya Habari katika Kuhakikisha Kunakuwepo Uchaguzi Unaoaminika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mkutano wa Wadau wa Habari kuhusu Wajibu wa Vyombo vya Habari katika Kuhakikisha Kunakuwepo Uchaguzi Unaoaminika.





 
Mzee Mobhare Matinyi tumekuelewa tunasubiri kuona utekelezaji isije ikawa zilongwa mbali na zitendwa mbali.
 
Mkutano wa Wadau wa Habari kuhusu Wajibu wa Vyombo vya Habari katika Kuhakikisha Kunakuwepo Uchaguzi Unaoaminika.

"Nalipongeza Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa jitihada zake katika tasnia ya habari"

"Vyombo vya habari vina wajibu mkubwa na muhimu katika jamii yetu" Mobhare Matinyi - Msemaji Mkuu wa Serikali

Mobhare Matinyi - Msemaji Mkuu wa Serikali.

πŸ“… Aprili 30, 2024.
πŸ“ Dodoma.
 

Attachments

  • VID-20240430-WA0070.mp4
    21.6 MB
  • VID-20240430-WA0069.mp4
    8.1 MB
Hii jf yetu ya kisasa hii!, bandiko la hoja muhimu kama hii ya toka April 30 ni kuchangiwa na mtu mmoja mimi hii leo!.
Tena kwa bahati nzuri sana nilikuwepo Dodoma kwenye tukio hili na nilifanya kitu
View: https://youtu.be/tmqRwQA2FUs?si=t4aWu_TarAobFw0xP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…