Mkuu Erythrocyte unajitahidi sana kuripoti kwa haki hapo Mbeya Mungu wa mbinguni akubariki!

Mkuu Erythrocyte unajitahidi sana kuripoti kwa haki hapo Mbeya Mungu wa mbinguni akubariki!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya

BAVICHA wote wanawatenga Dr. Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama CHADEMA baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 lakini wewe unawaripoti wote katika Utatu.

Tunatofautiana sana katika mengi kwenye siasa ila kwenye hili Mungu wa mbinguni akubariki na akutie nguvu usimame katika uweli na nguvu ya yule mganga wa Upareni naniliu Jr zisikukengeushe na zishindwe kabisa.

Nawatakia Alhamis njema 😀.
 
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya

Bavicha wote wanawatenga Dr Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama Chadema baada ya Uchaguzi mkuu wa 2015 Lakini wewe unawaripoti wote katika Utatu

Tunatofautiana sana katika mengi Siasani ila kwenye hili Mungu wa mbinguni akubariki na akutie Nguvu usimame katika Kweli na Nguvu ya yule mganga wa Upareni Naniliu Jr zisikukengeushe na zishindwe kabisa

Nawatakia Alhamis njema 😀
 

Attachments

  • F3jgOTWXUAAbCBJ.jpeg
    F3jgOTWXUAAbCBJ.jpeg
    132.2 KB · Views: 1
Wanachadema wengi wanakiweka chama chao kama imani fulani hivi ambayo mtu aliekua pamoja nao, akahamia upande mwingine akitaka kurudi huwa kunakua na zengwe na mtu hiyo hutengenezewa uadui kabisa.

Wengi wao wanaihubiri demokrasia ambayo wao wenyewe hawawezi kuitekeleza. Sometimes hiyo demokrasia inahitaji emotional inteligence.
 
Nadhani Shukrani nyingi ziende kwa JF inayotupatia nafasi ya kuripoti yanayojiri
 
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya

Bavicha wote wanawatenga Dr Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama Chadema baada ya Uchaguzi mkuu wa 2015 Lakini wewe unawaripoti wote katika Utatu

Tunatofautiana sana katika mengi Siasani ila kwenye hili Mungu wa mbinguni akubariki na akutie Nguvu usimame katika Kweli na Nguvu ya yule mganga wa Upareni Naniliu Jr zisikukengeushe na zishindwe kabisa

Nawatakia Alhamis njema 😀
mazuzu ktk ubora wenu, mnajilisha matango pori utafikiri watu wa maana
 
Wote wa Vyama vyote vikuu viwili walioshiriki Kwa namna moja au ingine Hadi Sanduku la kura likaibwa.

Kauli ya hata msipoipigia kura c....itaibuka mshindi Itunze pia Kwa yajayo.

Wagombea pande zote chama vikuu viwili ni wapya!!!
 
Back
Top Bottom