johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya
Bavicha wote wanawatenga Dr Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama Chadema baada ya Uchaguzi mkuu wa 2015 Lakini wewe unawaripoti wote katika Utatu
Tunatofautiana sana katika mengi Siasani ila kwenye hili Mungu wa mbinguni akubariki na akutie Nguvu usimame katika Kweli na Nguvu ya yule mganga wa Upareni Naniliu Jr zisikukengeushe na zishindwe kabisa
Nawatakia Alhamis njema π
Ndio wanarudi uongozini Paul and Lengai dadeki ππ₯π₯Mh...Sukuma Gang na Bavicha sasa dam dam
Asali imechacha saiz, maana Hadi bar za walevi zinapigwa pin Kwa kutaja Bandari hata Kwa Bahati mbaya!!!Mh...Sukuma Gang na Bavicha sasa dam dam
Tundu Lissu sasa sio kibaraka wa mabeberu tena?ππAsali imechacha saiz, maana Hadi bar za walevi zinapigwa pin Kwa kutaja Bandari hata Kwa Bahati mbaya!!!
HATOGOMBEA!!Tundu Lissu sasa sio kibaraka wa mabeberu tena?ππ
Nani?HATOGOMBEA!!
Hawapingani kabisaaaaπππMh...Sukuma Gang na Bavicha sasa dam dam
mazuzu ktk ubora wenu, mnajilisha matango pori utafikiri watu wa maanaNikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya
Bavicha wote wanawatenga Dr Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama Chadema baada ya Uchaguzi mkuu wa 2015 Lakini wewe unawaripoti wote katika Utatu
Tunatofautiana sana katika mengi Siasani ila kwenye hili Mungu wa mbinguni akubariki na akutie Nguvu usimame katika Kweli na Nguvu ya yule mganga wa Upareni Naniliu Jr zisikukengeushe na zishindwe kabisa
Nawatakia Alhamis njema π
Wote wa Vyama vyote vikuu viwili walioshiriki Kwa namna moja au ingine Hadi Sanduku la kura likaibwa.Nani?