Kwenye halmashauli nayofanya kazi kuna Rafiki yangu jumamos alipata dhalula kwa sababu ofisi za serikali zinakuwa zimefu gwa weekend kaamua kwenda kumwona mgonjwa alikaa huko wiki mbili maaana mgojwa alikuwa serious alivyorudi kazini kaambiwa mtoro hivyo yampasa asipewe mshahara kwasababu hajaomba ruhusa kimaandishi isitoshe anafanya kazi kijinini mbali na halmashauli je she ria ya kazi inasemaje maana taharifa ya kwenye simu ilikataliwa