johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa idara katika halmashauri zetu ni mtu mkubwa sana, yaani boss.
Sasa anawezaje kufanya igizo na nesi?
Inafikirisha sana yaani kama siyo uhujumu uchumi basi huu ni ugaidi.
Sasa anawezaje kufanya igizo na nesi?
Inafikirisha sana yaani kama siyo uhujumu uchumi basi huu ni ugaidi.