Mkuu wa kanisa la orthodox nchini urusi awaasa wanaoenda ukrane wasiogope kufa.

Mkuu wa kanisa la orthodox nchini urusi awaasa wanaoenda ukrane wasiogope kufa.

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Mkuu wa kanisa la orthodox nchini urusi,mwandani na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa nchini humo amewaambia makuruta watize wajibu wao na wasiogope kufa kwani hata wakifa wataenda kupumzika mbinguni.
My take:
Kiongozi huyu anajua hawatarudi urusi,ndio basi tena himars zinaenda kuwafyeka.Putin hii dhambi ya kuua watoto wa wenzie sijui atatubia wapi.
Screenshot_20220923-215540_Chrome~2.jpg
 
Wambie Putin avae gwanda nae aende front line sio kukaa Kremlin na kunywa gahawa tuu huku akiwasukumia vijana wa watu
Tena ikiwezekana abebe kabisa na familia yake yote ndiyo tutajua kweli yeye ni mzalendo.Hizi mambo za kupeleka watoto wa wenzie wakafe kama panya wakati wa kwake wapo West wanakula bata siyo kabisa
 
Dini ni kitu fulani hivi cha kijinga na cha kipumbavu kupata kuanzishwa na watu hapa dunia.

Dini zote duniani zina mambo ya kijinga na ya kishenzi zinayo fanya kuliko unafiki wanao uhubiri, ni hasara kuwa muuni wa dini yoyote hapa duniani.
 
Huyo bwana kwa nini yeye asiende ili akafe naye aende kwenye hiyo mbingu kwa nini yeye hataki kwenda na huyo mungu wake Putin. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom