Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Tena ikiwezekana abebe kabisa na familia yake yote ndiyo tutajua kweli yeye ni mzalendo.Hizi mambo za kupeleka watoto wa wenzie wakafe kama panya wakati wa kwake wapo West wanakula bata siyo kabisaWambie Putin avae gwanda nae aende front line sio kukaa Kremlin na kunywa gahawa tuu huku akiwasukumia vijana wa watu
Huyu inaonekana anapenda misa za mazishi sana.
Hahahaha πππHuyu inaonekana anapenda misa za mazishi sana.
Dikteta uchwara ni Magufuli John ?Shida nchi za kidikteta hata wachungaji watamwimbia pambio dikteta,
Umesahau maskai, pengo, upako wa mzee, kuhan mussa walivyokuwa wakimsifu kidketa uchwara?