NaimaOmari
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 801
- 46
Naamini wanawake wa kiislam wanatambua hilo kuwa mme wake anaweza ongeza jiko at any time!au siyo?hivyo mme akitaka kuongeza mke naamini bi mkubwa
lazima akubali!
..KUNA WATU WANACHONGA HAPA MLETA HOJA KULETA HII HOJA...IN SHORT WAELEWE MKUU NI PUBLIC FIGURE KWA HIYO MAISHA YAKE IS UP FOR SCRUTINY.....WALA MSIITE USHAKUNUKU...KWANI YEYE PIA ANAO WAJIBU WA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA ISITOSHE HATA DINI INARUHUSU...NA WALA SI AJABU..SOKOINE ALIKUWA NAO WAWILI....MWINYI KADHALIKA....
Eti rais wa Tanzania ana watoto wangapi? wako wapi?
...Urijali huo,
~kwa niaba yangu na familia natoa mkono wa hongera, nawatakia maisha marefu yenye amani na upendo wa kweli~
ila fainali uzeeni!
...kaka fainali uzeeni kwetu sie kina hohe hahee...ukumbuke uko uzeeni mwenzio atakua na pensheni!!!si wasikia nw nkapa nae anasema anaishi kwa pensheni?!
plus de fact atakua na timu ndeeeeefu ya watoto wa kumuangalia nimeona kuna mtu anauliza idadi ya watoto wa mtalii wetu!it seems na yasemekana wako wengi! ndio maana mie mwanzo nikauliza kwnai hao wanne walikua hawajafika tu?!
Duh ngoja niwahi kwa ze uchungu asije naye akazitoa.
...ni kweli mkuu ameoa karibuni...harusi ya siri ilifanyika kwenye hoteli moja kali ...walialikwa watu wa karibu na hapakuwa na ze kameras.......bibiye ana undugu wa mbali na ROSTAM.........taarifa za wandani zinasema bi mkUbwa mambo yake murua sasa na ana EXPECT!!!!
..KUNA WATU WANACHONGA HAPA MLETA HOJA KULETA HII HOJA...IN SHORT WAELEWE MKUU NI PUBLIC FIGURE KWA HIYO MAISHA YAKE IS UP FOR SCRUTINY.....WALA MSIITE USHAKUNUKU...KWANI YEYE PIA ANAO WAJIBU WA KUWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE MAPYA ISITOSHE HATA DINI INARUHUSU...NA WALA SI AJABU..SOKOINE ALIKUWA NAO WAWILI....MWINYI KADHALIKA....