Mkuu huyo wa Mkoa tayari anajikaribishia utata wa kisheria hadi hapo hivyo huenda akahitajika kujitokeza mahakamani kutetea msimamo wake huo dhidi ya autonomous body kama hiyo ya RUCO.
Pili, hili lina maana kwamba hivi karibuni kutapatikana VIONGOZI PANDIKIZI kuwaongozeni chuoni hapo kwa matarajio ya kupunguza ushawishi wa CHADEMA na kukifufua uwepo wa Chama Cha Mafisadi, mpende msipende. You guys, watch out for this CCM machinisation on the offing.