Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Nchi ina utaratibu wa kisheriaNaunga mkono hoja
Huyu ndio eti anafaa dar sababu ropo ropo khaaaaMkuu wa mkoa wa dar es salaam ataka wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuga yake hadi wafe.View attachment 2908978
Ni kweli wizi ni mbaya sana. Lakini huyu baba ni mnywa-damu za watu.Mkuu wa mkoa wa dar es salaam ataka wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuga yake hadi wafe.View attachment 2908978
Mwizi wa Transfoma ni kukata kichwa sio mkono....ifike mahala watu waache upumbavu wa namna hii..Kata mkono mmoja hadharani.
Ni fundisho la pekee kwa wezi wengine.
Huyu mwamba namkubali sana
Litatokea tukio moja kisha mtu atakufa kisha zigo litamuangukia yeye.. Maisha hayana formula.. Haya matamko ya kisiasa amakinike nayo sanaMkuu wa mkoa wa dar es salaam ataka wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuga yake hadi wafe.View attachment 2908978
mzee CHALAMILA unajidanganya bure man!!! huku uswazi CHIPS zinakaangwa kwa kutumia mafuta ya TRANSFOMA na vitambi vinaota,,,njoo mitaa ya wailess{temeke],yombo dovya,vi2ka,,,tandale n.k......alaf mafuta yenyewe yanabaki kuwa meupeeeeeeeeeeeeee pe!! ata kama ukikaangia miezi sita!!! na chips zake tamu na nyeupe kuliko zile unazikula wewe pale samaki samaki{mlimani city}''''lakini ukila wewe utapelekwa emergeny room!!!!!!!!!!Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema atakayekamatwa kwa wizi wa mashine umba (transformer) atanyweshwa mafuta ya mashine hiyo ili kama yana madhara kiafya, mwizi huyo awe mfano.
Utawala huo wa sheria unatumika wap!? Nchi gan!? Endeleen kudanganyanaZero brain huyo,hajui utawala wa sheria au?