Mkuu wa Mkoa Chalamila: Wezi wa mafuta ya transfoma wanyeshwe mafuta yake

Huyu ndiye anayeonekana kanisani mara kwa mara, leo anataka watu wauliwe?!
Kwakuwa anaenda kanisani mara kwa mara ndio atetee maovu!? Mm ninavyojua mtu unapoenda kanisani unajiweka karbu na Allah na kupinga maovu, hapo anapinga maovu kwhyo ypo sahihi.
 
Huyu jamaa akili zake anazijua yeye mwenyewe!
 
Huyu jamaa akili zake anazijua yeye mwenyewe!
Hapana mkuu.
Huyo ni graduate wa sheria pale Tumaini University.

Akili kama hizo zinatia shaka integrity ya vetting proccess....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…