Pre GE2025 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma: Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCM 05 Februari, 2025 kutakuwa na uji bure kwa wananchi

Pre GE2025 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma: Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCM 05 Februari, 2025 kutakuwa na uji bure kwa wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.

“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”

 
1738607548316.png
🤣
 
Politicians always use the vulnerabilities of the poor to manipulate them.

Since majority of them are not well informed in the field of politics they are easily made to succumb to the incongruent rhetorics of ccm for a cup of unnutritious porridge.

Wake up.
 
ujinga mtupu yaani chama kinatimiza miaka 48 na wananchi wengi wanawasapoti kwenye mikutano yenu ndio hao watajitokeze kwa wingi kupamba sherehe zenu tena wakipigwa na jua kali eti mtawapoza na uji tu..si bora hata Hashimu Rungwe anatoaga UBWABWA
 
Huu Ushamba wa Kuandaa Vyakula Kwenye haraiki tutacha lini aisee, Ni aina fulani ya Ujinga na Umasikini kuandaa Chakula Kama Icho sehemu ambapo sio Shule wala hospital ni just gathering ya Kisiasa sio issue kabisa
 
Back
Top Bottom