Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Heri James tayariBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
View attachment 1738620
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Ole Sabaya! Makonda tayari!! 😇Heri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Sijawahi kuona RC Muongo kama huyu jamaaWanaume wengi wa Mkoa wa Mbeya wanalishwa na wake zao.
Kupata huruma kwa asilimia kubwa anzia kwa akina mama.Sijawahi kuona RC Muongo kama huyu jamaa
Watajinyea tuBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
View attachment 1738620
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Ohooooo !!Heri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Uwezo wako wa kufikiria na kuchanganua mambo ni mdogo. Hata uDc utakuwa umependelewaBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
View attachment 1738620
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Hata leo bungeni nimeona mawazii wakijibu maswali kwa nidhamu bila kufoka.Kwa miaka yote hii wataishi kwa hofu na kuweweseka sana.
Mzee hiki ni kipindi cha ingia toka !! hapa kila mtu anatumia mbinu yake yaani "Survival of the fittest" !! wapo watakaonza kulia makanisani, wapo watakaolala makaburini - si suala la muda tu.Sijui kwanini watu wanapagawa!
Msihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule uleBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
View attachment 1738620
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?