Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila aanza kunena kwa lugha

Bado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .

View attachment 1738620

Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Msihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…