Wembe huu naoujua mimi?Msihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule ule
ChakubangaHeri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Mfano mzuri mtakaSasahivi wanasiasa waliokuwa viranja wakujibu shit na kuvuruga watu wanajidai kujisafisha.
Siku zote tenda wema na hutakuwa na sababu ya kujieleza sana baadae, kwasababu historia itaonyesha ulikuwa mtu was haki.
Ubaya kamwe haulipi.
Hakuna siku aliyoniudhi huyu RC Chalamila kama siku ile aliyokwenda mbele ya media na kudai ati, " NIMEONGEA NA MHE. RAIS NI MZIMA ANA CHAPA KAZI " wakti taifa lilikuwa kwenye sintofahamu ya Rais Magufuli yuko wapi??Bado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
View attachment 1738620
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Wala hatudhani hayo kutokea , lakini kwanini sasa watu wananena kwa lugha ?Msihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule ule
....... na viatuHuyu jama fix sana, eti aliongea na Rais Magufuli akamwambia yupo imara na anachapa kazi two days before utangazwe msiba wake.
Kweli duniani kuna watu..........
Jafo.Heri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Ndio maana aliyekuwa mkurugenzi wa TPA kakamatwa na kuwekwa ndani na TAKUKURU akifanyiwa birthday party, na huyu ni mteule wa Magufuli. MATAGA mtabakia kuwa mataga alwaysMsihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule ule
Angekuwa hai ansigepanua domo lakeBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
HakikaSubiri tutashuhudia mengi wakati huu
Halafu wakati huo huo huwaambia wahitimu wa vyuo wajiajiriTanzania hakuna kigezo kinachoeleweka cha kuwateua viongozi mbalimbali ila ni upambe zaidi na umbeya sifa kuu mbili ambazo Magufuli alizitumia sana katika kuteua watu wake.
Hata safari hii tusitegemee tofauti sana kwa sababu wengi kwa kuogopa kujiajiri hupenda kujipendekeza ili wapate uteuzi.
Sawa basi subiri pia unyakuliwe urudi mtaani.Bado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Ameshukiwa na roho mtakavituBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Hivi code ya mwendazake ni nani Mkuu?Unaweza kuta mwendazake kuna viongozi kama ma RC na Ma DC alikuwa anawapeleka sehemu husika kama adhabu kwa wakazi wa eneo hilo.
ππππAmeshukiwa na roho mtakavitu
Hujaona clip ya jerry muro? Anasema kwa utawala wa Magu kwa mchaga kupenya hadi kuwa DC ilikua ndoto? Ngoja niweke hapa.Heri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Bado zamu yako ikifika na wewe utanena kwa lugha mkuuSijui kwanini watu wanapagawa!