Mkuu wa mkoa wa Mtwara kuonekana kavaa nguo za chama cha Mapinduzi wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ ni sahihi?

Mkuu wa mkoa wa Mtwara kuonekana kavaa nguo za chama cha Mapinduzi wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ ni sahihi?

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
IMG-20240728-WA0109.jpg
 
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm Mkoa, tunachopaswa kufanya kwa sasa ni kumtimua jeshini
 
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Hapo kavaa koti jeusi na shirt la kawaida la kijani ndani, ni ngumu kuhukumu ,ila kwa sababu yupo karibu na waliovaa typical nguo za chama ni rahisi kuhukumu.

Binafsi namna alivyovaa sioni shida
 
Ccm wnyw wanasema kila mtu akizaliwa anakuwa n mwanaccm labla aamue mwnyw kukengeuka, n sawa na yule mwanamke aliyewahi kugombea urais enzi za JPM na akapewa ukuu wa mkoa wa Iringa akaambiwa lazima asimamie ilani ya ccm
 
RC na DC Mara nyingi ni makada wa vyama so mambo mengine ni kwenda nayo hivyo hivyo.
Surat Al-Ma'ida (5:8):

  • "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamia uadilifu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkishuhudia kwa uadilifu. Wala chuki za watu zisiwafanye mkose uadilifu. Fanyeni uadilifu, hiyo ndiyo iliyo karibu zaidi na uchamungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye khabari za mnavyo vitenda."
 
Yaaani ww unashangaa mkuu wa mkoa


Huku kwetu msajili wa vyama vya siasa kachukua kadi ya ubunge ya chama tawala ili awe kwenye mchujo

Kati hili na hilo lako lipi kubwa??
Hatari sana
 
Surat Al-Ma'ida (5:8):

  • "Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamia uadilifu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkishuhudia kwa uadilifu. Wala chuki za watu zisiwafanye mkose uadilifu. Fanyeni uadilifu, hiyo ndiyo iliyo karibu zaidi na uchamungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye khabari za mnavyo vitenda."
images (1).jpeg

Jecha nasikia alikuwa aliyeamini....Hakujua haya mafundisho ya uadilifu?
 
CCM ilianzia jeshini so hapo ni nyumbani kwake

USSR
 
Picha kama inavyojionesha kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara leo tarehe 28.07.2024 kuonekana kavaa nguo za chama cha CCM wakati yeye ni mtumishi wa JWTZ je leo jeshi letu ni CCM au ndyo utaratibu wa kijeshi.

Mkuu wa majeshi kwa kukomesha ili mchukulieni hatua mkuu wa Mtwara kwa kuvunja kanuni za JWTZ.

Au ndymana rais Samia alizuia wasivae kombati alitaka wavae nguo za CCM?
View attachment 3055377
Formula ni moja tu ukijiunga nao lazima umwage 🧠 🧠
 

Attachments

  • -vbxhui.jpg
    -vbxhui.jpg
    180 KB · Views: 9
Back
Top Bottom