DOKEZO Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba atuhumiwa kwa Unyanyasaji

DOKEZO Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba atuhumiwa kwa Unyanyasaji

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
 
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Mnalewa na kupigana kweli mmechoka kazi!
 
Aisee usalama kawa mwana fujo weee Josefu komba wewe kabisa.
 
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Fourth regime na hii vinafanana kila kitu hadi unanijua mm nan nayo imerudi
 
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Dso ni member wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Mshauri wa mgambo pamoja na Ocd nao ni member pia.

Kusema yupo karibu na Ocd wakati wanafanya kazi pamoja kama wajumbe wa kamati huo ni unaa.

Kupiga mtu kwenye starehe ama popote ni kosa la jinai.

Kwanini mlalamikaji asimburute huyo mlevi wa madaraka mahakamani?

Hakuna aliye juu ya sheria.
 
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
hao jamaa hata wafanyeje hua hawashughulikiwi kirahisi dawa waache tu au washitaki kwa Mungu, usipoteze muda.
 
hao jamaa hata wafanyeje hua hawashughulikiwi kirahisi dawa waache tu au washitaki kwa Mungu, usipoteze muda.
Amroge tu au Kama jamaa mtu wa club sana kwa mji mdogo km Singida amuwekee mitego akijaa ni mwendo wa KY jelly tu ndo dawa yake
 
Amroge tu au Kama jamaa mtu wa club sana kwa mji mdogo km Singida amuwekee mitego akijaa ni mwendo wa KY jelly tu ndo dawa yake
awashitaki tu kwa Mungu, ukienda kwenye uchawi hakuna watu wachawi kama hao.
 
Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.

Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.

Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.

Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Apelekwe mahakamani
 
Back
Top Bottom