Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mnalewa na kupigana kweli mmechoka kazi!Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.
Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.
Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.
Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Naona Watu wamekubali kuonewa kifalafalaPesa huna ,nguvu huna ,hata uchawi huna??? Nyie binadamu wa aina Gani!??Kuna wataalamu wanataka jina tuuu ,Halafu wanakuuliza tumpe adhabu Gani!?? Wewe unachagua afe Kwa ajali au gafla!!!
# kataa kuonewa maisha mafupi#
Fourth regime na hii vinafanana kila kitu hadi unanijua mm nan nayo imerudiMkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.
Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.
Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.
Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Dso ni member wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Mshauri wa mgambo pamoja na Ocd nao ni member pia.Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.
Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.
Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.
Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
hao jamaa hata wafanyeje hua hawashughulikiwi kirahisi dawa waache tu au washitaki kwa Mungu, usipoteze muda.Mkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.
Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.
Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.
Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?
Amroge tu au Kama jamaa mtu wa club sana kwa mji mdogo km Singida amuwekee mitego akijaa ni mwendo wa KY jelly tu ndo dawa yakehao jamaa hata wafanyeje hua hawashughulikiwi kirahisi dawa waache tu au washitaki kwa Mungu, usipoteze muda.
Nyie watu sio wazuri vilainishi vinahusikaje hapa ettiAmroge tu au Kama jamaa mtu wa club sana kwa mji mdogo km Singida amuwekee mitego akijaa ni mwendo wa KY jelly tu ndo dawa yake
awashitaki tu kwa Mungu, ukienda kwenye uchawi hakuna watu wachawi kama hao.Amroge tu au Kama jamaa mtu wa club sana kwa mji mdogo km Singida amuwekee mitego akijaa ni mwendo wa KY jelly tu ndo dawa yake
Apelekwe mahakamaniMkuu wa Usalama wa taifa Wilaya ya Singida, Joseph Komba, anadaiwa kunyanyasa sana Askari wadogo kwa sababu inayodaiwa yupo karibu na OCD na mshauri wa Mugambo wa Wilaya.
Pia inadaiwa amekuwa akinyanyasa watu night club inayojulikana kwa jina la Narina.
Joseph Komba wiki ilopita alimpiga aitwaye Hussein anyefanya kazi katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Singida.
Je, Maadili ya Utumishi wa umma una mipaka?