Mkuu wa wilaya ya manispaa Tabora mjini ameonja joto ya jiwe baada ya kutaka kuwachangisha walimu mchango wa sherehe za uhuru na mwenge walimu walimuchachafya kwa hoja kwenye ukumbi wa uhadhili mpaka akakimbia.
Anataka akusanye sh 280,000,000 milions kwa ajili ya miaka 50 ya uhuru na mwenge kupitia migogo ya walimu. wanajamii pia tunahitaji mchango wenu hivi ni haki kumchangisha mwalimu kwa ajili ya sherehe za uhuru na mwenge.
Magamba wataimaliza hii nchi.
Anataka akusanye sh 280,000,000 milions kwa ajili ya miaka 50 ya uhuru na mwenge kupitia migogo ya walimu. wanajamii pia tunahitaji mchango wenu hivi ni haki kumchangisha mwalimu kwa ajili ya sherehe za uhuru na mwenge.
Magamba wataimaliza hii nchi.