Yani hiyo sio Tabora tu hata mwanza misungwi walimu wanalazimishwa kuchangia huo mwenge, yani inauma sana kwanini tuendelee kuchangia kitu ambacho hakina manufaa yoyote, mm naona kazi ya mwenge ni kueneza ukimwi na mambo machafu ya pombe. jamani watz tuamke tukatae kukandamizwa na kunyonywa, huo mwenge wangekuwa wanakatwa mafisadi kuliko walimu ambao mshahara wenyewe wanaoupata hautoshelezi kabisa, MFUMO WA SERIKALI ni mfumo wa kinyonyaji kwa wasionacho.