Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Singida kutoa taarifa ya kupingana na taarifa ya mkuu wa wilaya ya Manyoni, kuna taarifa kuwa tayari mamlaka ya uteuzi umetengua uteuzi wa mkuu wa wilaya wa Manyoni.
Hatua hiyo imekuja baada ya aliyekuwa mkuu huyo wa wilaya ya Manyoni kurudisha kodi ya kichwa, kodi ya mifugo, kodi ya punda, kodi ya kuku, kodi ya mbuzi nk...
Hatua hiyo imekuja baada ya aliyekuwa mkuu huyo wa wilaya ya Manyoni kurudisha kodi ya kichwa, kodi ya mifugo, kodi ya punda, kodi ya kuku, kodi ya mbuzi nk...