Mkuu wa Wilaya Morogoro sijatumwa na Mwigulu kumuandama Mpina

Mkuu wa Wilaya Morogoro sijatumwa na Mwigulu kumuandama Mpina

Rege

Senior Member
Joined
Jul 9, 2022
Posts
117
Reaction score
153
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebbeca Sanga yeye hahusiki na mgogoro wa Mpina na wananchi na kwamba hizo tuhuma anazoelekezewa na watanzania mbalimbali kwamba ametumwa na mwigulu ni mambo ya kufikirika.

Watu wengi wamemhusisha mkuu huyo wa wilaya na ukaribu wake na Mwigulu kupitia kwa Kaka yake Festo Sanga ambaye ni Mbunge na Mtu wa karibu sana na Mwigulu aliyemtoa kimaisha kwamba eti ndio wamesuka hiyo njama ya kuandamana mpina aonekane ni kiongozi wa hovyo.

Watu wa karibu wa mkuu huyo wa wilaya wanasema yeye ni mgeni morogoro na hawezi kuwa na mgongano wa masrahi na mpina wamesema undugu wake na FESTO SANGA Mbunge hauna uhusiano na utekelezaji wa majukumu yake ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.
 
kumbe utawala wa kisultani(kindugunaizesheni)bado unaendelea nchi hii.hatari sana kama vijana hawataamka kupigania haki zao basi wamekwisha.uongozi utaendelea kuwa wa kurithishana.
 
siku 14 alizotoa mkuu wa wilaya zinazidi kupungua mtatajana tu wote mliohusika kwenye nia hiyo ovu na hatutasamehe kamwe mmetuchezea vya kutosha wananchi wanyonge
 
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebbeca Sanga yeye hahusiki na mgogoro wa Mpina na wananchi na kwamba hizo tuhuma anazoelekezewa na watanzania mbalimbali kwamba ametumwa na mwigulu ni mambo ya kufikirika.

Watu wengi wamemhusisha mkuu huyo wa wilaya na ukaribu wake na Mwigulu kupitia kwa Kaka yake Festo Sanga ambaye ni Mbunge na Mtu wa karibu sana na Mwigulu aliyemtoa kimaisha kwamba eti ndio wamesuka hiyo njama ya kuandamana mpina aonekane ni kiongozi wa hovyo.

Watu wa karibu wa mkuu huyo wa wilaya wanasema yeye ni mgeni morogoro na hawezi kuwa na mgongano wa masrahi na mpina wamesema undugu wake na FESTO SANGA Mbunge hauna uhusiano na utekelezaji wa majukumu yake ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.




Kama hajatumwa kwanini alienda kusikiliza kero hewa za kutengeneza wakati akijua yeye ni mtumishi wa serikali anayetakiwa kusikiliza pande zote mbili badala kupiga picha na vituko? Kuna mambo mangapi hapo Morogoro hayaendi sawa na wananchi wanalalamika lakini haendi kutatua kama maji maeneo ya Kihonda, Mkundi, Kiegea, Bigwa nk ambako hawajui kama itakuja kutokea wakapata maji siku moja. Watu wamepimiwa ardhi miaka zaidi miatano iliyopita na mkurabita lakini wakaingia mitini hadi leo
 
Nafarijika saaana hawa wahuni wakivurugana
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Kama hajatumwa kwanini alienda kusikiliza kero hewa za kutengeneza wakati akijua yeye ni mtumishi wa serikali anayetakiwa kusikiliza pande zote mbili badala kupiga picha na vituko? Kuna mambo mangapi hapo Morogoro hayaendi sawa na wananchi wanalalamika lakini haendi kutatua kama maji maeneo ya Kihonda, Mkundi, Kiegea, Bigwa nk ambako hawajui kama itakuja kutokea wakapata maji siku moja. Watu wamepimiwa ardhi miaka zaidi miatano iliyopita na mkurabita lakini wakaingia mitini hadi leo
Hoja nzito sana hii
 
Huwa awajifunzi ‘Bi Tozo’ ni mtu anaependa mawaziri wake wapigane vita vyao.

Sasa hivi kitamkuta kilichompata mkuu wa mkoa wa Mara kwa kugombana ma Waitata. Raisi afanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya jina lake halipo.

Busara kwa mtumishi wa serikali ni kutojiingiza katika vita vya siasa za bungeni.
 
Ndio maana huyu dogo Festo Sanga kazi yake kupamba awamu ya sita
 
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Rebbeca Sanga yeye hahusiki na mgogoro wa Mpina na wananchi na kwamba hizo tuhuma anazoelekezewa na watanzania mbalimbali kwamba ametumwa na mwigulu ni mambo ya kufikirika.

Watu wengi wamemhusisha mkuu huyo wa wilaya na ukaribu wake na Mwigulu kupitia kwa Kaka yake Festo Sanga ambaye ni Mbunge na Mtu wa karibu sana na Mwigulu aliyemtoa kimaisha kwamba eti ndio wamesuka hiyo njama ya kuandamana mpina aonekane ni kiongozi wa hovyo.

Watu wa karibu wa mkuu huyo wa wilaya wanasema yeye ni mgeni morogoro na hawezi kuwa na mgongano wa masrahi na mpina wamesema undugu wake na FESTO SANGA Mbunge hauna uhusiano na utekelezaji wa majukumu yake ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.




Hawezi kubali hata kwa dak moja
 
kumbe utawala wa kisultani(kindugunaizesheni)bado unaendelea nchi hii.hatari sana kama vijana hawataamka kupigania haki zao basi wamekwisha.uongozi utaendelea kuwa wa kurithishana.
Kwani lini iliwahi kubadilika? Iko hivyo miaka yote.

Mfano tu, marehemu Kijazi (K/Kiongozi). Je kuna Kijazi wangapi kwenye nafasi nyeti hapo Tz ?
 


Wahuni

 
Back
Top Bottom