DOKEZO Mkuu wa wilaya mstaafu anaambiwa ajiongeze ili apewe mafao yake aliyofuatilia kwa miaka kumi sasa

DOKEZO Mkuu wa wilaya mstaafu anaambiwa ajiongeze ili apewe mafao yake aliyofuatilia kwa miaka kumi sasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Bloodstone

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2016
Posts
920
Reaction score
994
Heshima kwenu wakuu,

Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali. Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini takribani miaka kadhaa iliyopita (zaidi ya kumi). Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16) kisha Wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kinachosikitisha ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh. Milion mbili tu), baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yaani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia).

Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika ikiwezekana kuonana na Mhe. Rais.

Kwani amekuwa akisumbuka kwa zaidi ya miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.

Amekuwa mtiifu nakusumbuka bila mafanikio. Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika na kwasasa yupo Temeke anapoishi.

NB: Amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.

Natanguliza Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama mkuu wa wilaya mstaafu hajui hata haki zake , yaani mtu ambaye amekuwa kiongozi wa ulinzi na usalama kwa miaka 16 katika wilaya usika tuanze kumtetea je walimu na manesi itakuwaje
images%20(2).jpeg
 
Mwambie aende takukuru wawawekee mtego hao jamaa wenye tamaa.Takukuru watampa mbinu atawakubalia hao jamaa ilo pasu ila litawatokea puani
Hamna kitu huko mpaka wamuulize Rais kwanza
 
Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)

Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika

Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.

Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.

Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.

NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.

Natanguliza Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunapokuwa tunalalamikia mafao,hao wateule huwa wanatung'onga,apambane na hali yake
 
Back
Top Bottom