Atafukuza wangapi. wakati 85% ya wenye mamlaka ni wazinzi.
.......otherwise ni kawaida tu tena watu wazima....
Hapo mkuu umenena acha hawa kina Fidel80 kufikirika kugumu.Labda wanalipa kupitia kitu wanachokiita REMITTANCE. Mdogo wake au shangazi bongo anatumiwa vijisenti vya mchicha ndio hivyo tena vinawafanya waone nao ni wadau huku.
cha ajabu ni kipi? Kaiba mke wa mtu? Kabaka?huyu demu ni under age? Mwanafunzi? Jibu ni hapana sasa cha ajabu ni kipi?
Unajua dhehebu lake au unaandika tu,mwezi mtukufu kwa wanaoujua kafiri kwa waliokafirika,fanya utafiti and then andika kuna thread nyingi za kuchangia naona hapa si mahala pako.anafanya mapenzi pasipo ndoa...zinaa...mwezi mtukufu...kafiri huyo..hafai kuongoza watu ni nuksi.
Je nchi za kiarabu waliofunga na wanaujua ukafiri mwezi huu mtukufu na bado wana vita huko kwao kwa nini wasiache kupigana vita mwezi huu mtukufu na baada ya hapo waendekee na vita? kwa hiyo hao si makafiri?anafanya mapenzi pasipo ndoa...zinaa...mwezi mtukufu...kafiri huyo..hafai kuongoza watu ni nuksi.
Hata akija kufanya kampeni za kupunguza maambukizi ya ukimwi utamwelewa mtu wa jinsi hii..?
Kwanza kwa aibu ya jinsi hiyo asinge kwenda toa taarifa Polisi, Simu,laki 2 pete ya Gold ndio vikutangazie upuuzi wa jinsi hiyo dunia nzima ?
Utakwenda waambia wamarekani wanaokuchangia fedha kupambana na Ukimwi kwamba wewe ni kiongozi mfano wa kupambana na Ukimwi ..kweli watakuelewa ???
Naona Madaso unakula cha juu kwa huyu mkuu wa wilaya si bure.
Duh Kama ni kweli basi au ni Mke wa mtu.. ni hatari sana kuona kama Mkuu wa Wilaya anafanya mambo kama haya ya ajabu[/QUOTE]
Sasa jambo la ajabu alilofanya ni nini, kwani wewe haupigi mzigo, Mbona kumega au kumegwa ni mambo ya kawaida.
Hii ni aibu. Nimesikia maelezo yake asubuhi ya leo anasema eti ni kitu kimepangwa na mpenzi wake wa zamani ambaye amemuacha na pia ni mwandishi. Huyu mkuu wa wilaya hafai. Eti alikuwa kapunzika? mchana?
JK MFUTE KAZI!
Huu ni utovu wa nidhamu kwa kiwango chochote kile na JK ana kila sababu kumfukuza kazi:
1. Anaiba muda wa mwajiri kufanya mambo binafsi
2. Huenda ametumia nyenzo za serikali kama gari aliloendea, dereva aliyempeleka huko, pesa aliyotumia n.k.
3. Haya ni matumizi mabaya ya madaraka
4. Anafundisha nini jamii inayomzunguka?
Mkuu umelonga hapo hapo unaona kunwa watu wanamtetea hivi fikiria hili swala lingekuwa nchi za wenzetu ngozi nyeupe ingekuwaje? Dah Miafrika ndivyo ilivyo.