Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Zainabu Abdallah akionesha umahiri wake katika Mashairi

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Zainabu Abdallah akionesha umahiri wake katika Mashairi

Dr Restart

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
4,949
Reaction score
24,046
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Zainab Abdallah ameonesha utaalamu na uwezo mkubwa wa kushusha mistari huku akiwa amerelax kabisa.

Binti huyo mrembo, ameonekana katika video inayosambaa katika mitandao ya kijamii akichana kwa lugha ya Kiingereza kwa lafudhi ya Kimarekani kama Mwanamuziki Nick Minaj

Mistari hiyo inahusiana na mwanaume mwenye pesa aliyempenda kisawasawa na baadae kubadilika punde baada ya kupata ujauzito.

Hebu Msikilize hapa chini, kisha muachie ujumbe katika eneo la comments.

 
Afadhali siku hiz hata anavaa vizuri. Alikua anavaa kama bibi wakati ni mdogo tu
Huyo apo
IMG-20211023-WA0033.jpg
 
Duh....ndio nimeona hii leo...
Nimekubali....
Naona wengi wamekimbia kuchangia kwa sababu ya lugha tata....
 
Nikki wa pili kiherehere. Wampe procuder Bashite atoe beat
 
Back
Top Bottom