Mkuu wa Wilaya ya Chunya, ameagiza kuundwa kwa mfuko maalumu utakaoshughulikia majanga ya asili yanayowakumba wakulima

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Mbarak alhaj Batenga, ameagiza kuundwa kwa mfuko maalumu utakaoshughulikia majanga ya asili na moto ambao utasaidia kupunguza hasara inayawapata wakulima wa tumbaku wilayani humo.

Batenga alitoa kauli hiyo alipokuwa akikabidhi gari kwa wakulima wa tumbaku wa chama cha msingi cha MTANILA AMCOS kwa ajili ya kuongeza tija ya uzalishaji wa zao hilo.

Your browser is not able to display this video.
 
Chanzo kingine cha upigaji pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…