mkuu wa wilaya ya hai kwenda shimiwi

mkuu wa wilaya ya hai kwenda shimiwi

Remmy

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2009
Posts
4,701
Reaction score
1,803
jamani hivi huyu mkuu wa wilaya ya hai ana nini, mi namshangaa eti kaacha kazi za serikali anakwenda kwenye mashindano ya michezo SHIMIWI iz it right?
 
Anawajibika kwa rais huyo,wananchi wanapelekewa mteule,tatizo ni mfumo wa kuwapata hawa jamaa.
 
jamani hivi huyu mkuu wa wilaya ya hai ana nini, mi namshangaa eti kaacha kazi za serikali anakwenda kwenye mashindano ya michezo shimiwi iz it right?

tumewahi kujiuliza serikali inatumia shs ngapi kila mwaka kwa ajili yamichezo ya shimiwi, wakati wilaya 40 zina njaa wananchi wengine wako busy wanavutana kamba, kucheza bao, karata nakadhalika. Kwa gharama ya serikali.

Ukiuliza umuhimu wa shimiwi, wanasema michezo inajenga afya, mbona hatuangalii afya ya wasio na chakula au hiyo sio afya?????our priorities kweli zinachekesha.
 
Afya ni muhimu kama wengine nao wamekula angalau mchemsho wa mizizi na matunda!
 
Back
Top Bottom