Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi. Khadija awaweka ndani Wakuu wa Shule kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa

Wamepewa siku 30 ujenzi uishe.
 
Yaani anatetea kushika silaha mkononi!?
 
Yaani anatetea kushika silaha mkononi!?
Mkurugenzi alivyojua amekosea kitaratibu kuwaweka ndani..Mkuu wa Wilaya akaona aseme ni yeye ili amlinde. Ila Leo naomba niwaombe msamaha waliokuwa wanadai katiba mpya halafu nikawaona hawana hoja.
 
Mkurugenzi alivyojua amekosea kitaratibu kuwaweka ndani..Mkuu wa Wilaya akaona aseme ni yeye ili amlinde. Ila Leo naomba niwaombe msamaha waliokuwa wanadai katiba mpya halafu nikawaona hawana hoja.
Huyo mkurugenzi yawezekana, sina hakika, kuna vitu vinamlinda.
 
Hao walimu wamemwambia wana shida ya madarasa kwa sasa, kwa nini wasifanye kwa ratiba yao waliyojiwekea au ndo haraka ya kupiga zile 1.3t
Unajua wtz mnakera,,wakizembea mnasema huyu Samia hafai na wakichukua hatua mnalalamika hivi mkoje nyie wanyonge!!!?
 
Nadhani ni muhimu watu wajue sheria na kuzifuata na wanaokamatwa kinyume cha sheria, wawe wanafungua kesi za madai inaonekana wazi kwamba ilikuwa ni kinyume cha utaratibu.
 
Kuna haja mwalimu amiliki ka chipu ka bomu ili ikitokea kujitetea tu alipue
 
Walimu wapo busy na mambo ya matokeo na maandalizi ya wanafunzi ninyi jukumu lenu ndio kujenga shule mnawaweka ndani walimu hii sio sawa...mmewaonea bure watoeni walimu wetu yaani walimu kesi zote zao hata watoto kutopelekwa kujiandikisha shule wanapewa kesi Walimu..hii Nchi sijui tulikula maharage ya wapi?
 
Unajua wtz mnakera,,wakizembea mnasema huyu Samia hafai na wakichukua hatua mnalalamika hivi mkoje nyie wanyonge!!!?
Mwalimu ndo injinia hadi umweke ndani kwa kushindwa kukamilika jengo, yaani mwalimu aache kushughulika na taaluma ya wanafunzi akatumie muda wote kujenga madarasa, hovyo kabisa.....
 
My apology kwa DED Bi. Mwantumu Mgonja kumbe ni DC ndio kawaweka ndani duh!
 
Kuna kitu sijakielewa katika jenga jenga ya hizo shule za kata sijui za wananchi.mshikaji wangu yupo wilaya hiyo mkuranga ni mwanakiji wa huko.alinipigia akiniambia anataka tuonane nikamwambia nipo mbali kama vipi tuongee tu kwa simu.akatiririka ebhana tunataka utukopeshe hela tujenge msingi wa shule then baada ya wiki 2 tukipewa hela na serikali tutakurudishia hela yako.mmmh nikaanza kuogopa nikamwambia hela sina kwa kuogopa serikali inaweza kuchelewesha tukaanza kuonana wabaya.! Ninachotaka kujua serikali inatoa hela za ujenzi badala ya kuona mshaanza kujenga au mnapewa cash mjenge wenyewe kuanzia msingi.???? Kiufupi utaratibu unakuwa vipi.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…