Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando anasema anakatwa rejesho la mkobo wa kujenga vibanda

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando anasema anakatwa rejesho la mkobo wa kujenga vibanda

dope bwoi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
236
Reaction score
602
DC wa Morogoro Albert Msando amesema anakatwa Tsh. Milioni 2.8 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wake wa Tsh. Milioni 3.1 kama rejesho baada ya kukopa Benki kiasi cha Tsh. Milion 106 ili kujenga vibanda zaidi ya 700 kwa ajili ya Wamachinga kufanyia biashara.
 
Bado ajatokea mwana CCM mwenye roho kama hapo lazima atakuwa anakula kodi za vibnda 700 hivyo....so hapo ni biashara anafanya
 
Gigy Money angalia sasa ulimkataa huyu millionea anayeogelea fedha😅
 
DC Sambalu anatuyeyusha ,sheria gan izinaruhusu wakate mshahara kwa DSR zaidi ya 90% ? BOT wameweka sheria mshahara hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% kwa kurejesha mkopo.
 
Kwahiyo machinga wanafanya biashara bila kulipa kodi ya pango?
 
Duh! Kwa hiyo hivyo vibanda ametoa kama msaada kwa haoachonga au wangalia kodi? Halafu amesema ili iweje??
 
Back
Top Bottom