Alitakiwa AkamatweMungo mkubwa kwani hivyo vibanda mali yake binafsi au anatakatisha fedha?
1/3DC Sambalu anatuyeyusha ,sheria gan izinaruhusu wakate mshahara kwa DSR zaidi ya 90% ? BOT wameweka sheria mshahara hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% kwa kurejesha mkopo.
Msando mpuuzi sana. Anawapiga fix za kijinga viazi wenzieDC Sambalu anatuyeyusha ,sheria gan izinaruhusu wakate mshahara kwa DSR zaidi ya 90% ? BOT wameweka sheria mshahara hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% kwa kurejesha mkopo.
Yeah BOT wana Ile 1/3 rule.DC Sambalu anatuyeyusha ,sheria gan izinaruhusu wakate mshahara kwa DSR zaidi ya 90% ? BOT wameweka sheria mshahara hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% kwa kurejesha mkopo.