Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea: Watoto 7,840 wa miaka 10 hadi 19 wamepata mimba mkoani Lindi

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea: Watoto 7,840 wa miaka 10 hadi 19 wamepata mimba mkoani Lindi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Serikali ya mkoa wa Lindi imesema kuwa ndani ya Mkoa wa Lindi watoto kati ya miaka 10 hadi 19 wakiwa na jumla ya watoto 7,840 wamepata Mimba na kukatisha masomo jambo ambalo halikubaliki katika jamii na Serikali kwa ujumla.

Soma pia: Changamoto ya Mimba za Utotoni, Katavi, Watoto 50 wa Miaka 10-14 wabebeshwa ujauzito Mwaka 2024

Akizungumza katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe. Mohamed Hassan Moyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack, amesema kuwa ndani ya Mkoa wa Lindi watoto kati ya miaka 10 hadi 19 wakiwa na jumla ya watoto 7,840 wamepata Mimba.

 
Dah watu wanatembeza moto adse 😀😀😀😀😀, hao waliowapa mimba mfano wote wakafungwa tutakua tumepoteza nguvu kazi kwa kiwango kikubwa sana
 
Dah watu wanatembeza moto adse 😀😀😀😀😀, hao waliowapa mimba mfano wote wakafungwa tutakua tumepoteza nguvu kazi kwa kiwango kikubwa sana
TUWEKEZENI MUNGU NDANI YA WATOTO WETU (SIO KUWEKEZA DINI) HUU UPUUZI HAUWEZI KUWEPO
 
Watoto 7000 katika kipindi cha muda gani?
Wilaya moja,Nachingwea,watoto 7800 wamepata mimba.
Wamepata mimba katika mwaka mmoja au hizi ni takwimu za miaka kumi?
Halafu,I don't believe all this.
 
Dah watu wanatembeza moto adse 😀😀😀😀😀, hao waliowapa mimba mfano wote wakafungwa tutakua tumepoteza nguvu kazi kwa kiwango kikubwa sana
Na hao ndio ndege wajanja walionaswa kwenye tundu bovu. Kuna age hiyo wanaotembezewa moto na p2 zinafanya kazi ambao ni wengi kuliko!
 
Wanau e tumechoka kula breki mbuzu kwa condom hatupati raha wacha tukachumue vitoto anagli vibichi
 
Dah watu wanatembeza moto adse 😀😀😀😀😀, hao waliowapa mimba mfano wote wakafungwa tutakua tumepoteza nguvu kazi kwa kiwango kikubwa sana
Hapo hakuna nguvu kazi itakayo potea.... nadhani tutakua tumesaidia jamiii... nguvu kazi ina bebesa watoto under age wakati makubahanga yamejaa kila kona.. tusi watetee wabakaji in the names of nguvu kazi
 
Back
Top Bottom