Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Source majira
Katika hari inayoelekea kujitungia sheria kulingana na matwakwa ya pande anayoamini yeye either kwa kushauriwa au kwa matakwa binafsi mkuu wa Wilaya Ya Temeke bi Sofia kaamuru maafisa wa vitongoji na wazee wote kuwatandika viboko wale wote watakao vaa nguo amabazo kaziita "nusu uchi" wakati wowote ili kulinda maadili ya kitanzania hasa kwa vijana.
Wazo langu
Hiyo imeanza Temeke tungojee na watawala wa mikoa mingine
Katika hari inayoelekea kujitungia sheria kulingana na matwakwa ya pande anayoamini yeye either kwa kushauriwa au kwa matakwa binafsi mkuu wa Wilaya Ya Temeke bi Sofia kaamuru maafisa wa vitongoji na wazee wote kuwatandika viboko wale wote watakao vaa nguo amabazo kaziita "nusu uchi" wakati wowote ili kulinda maadili ya kitanzania hasa kwa vijana.
Wazo langu
Hiyo imeanza Temeke tungojee na watawala wa mikoa mingine