Mkuu wa Wilaya ya Ubungo tunaomba vigezo vya mtu anaetakiwa kukutwa kwenye chumba cha guest au lodge

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Hii ni zaidi ya kuminya mapato ya wilaya kama hajajua, hivi inaingia vipi akilini unaenda kumkamata mtu chumbani kwenye gest au lodge iliyosajiliwa na mmiliki analipa kodi serikalini monthly na ana leseni?

Binafsi naomba mkuu wetu wa Wilaya tupatie utaratibu au vigezo ambavyo vinatakiwa kwa mtu anaetakiwa chumba cha kulala kwenye nyumba za wageni. Kama ni cheti cha ndoa aseme au kama vigezo vingine aseme kuliko hii anayofanya ni kuharibiana biashara.

Pia soma:
 
Kuna mambo yanafurahisha sana...
  • Asiwe na mke wala mume...
  • Asiwe chini ya miaka 18...
  • Asiwe na mchumba...
  • Ukiwa huna vyote hapo wewe ni single ina maana ni kweli umeenda kununua au kununuliwa... Sweka ndani...
  • Ukiwa na vyote hapo wewe ni mzinzi... sweka ndani


Cc: Mahondaw
 
Ni upuuzi kwa kiongozi kukimbizana na makahaba,kuna kazi na kero nyingi za kutatua.
Biashara ya ukahaba ipo tangu enzi za Yesu na haitakaa iishe,kwa hiyo kukimbizana nao ni kufukuza upepo.
 
DC shikilia hapo hapo hakuna kuogopa wala kurudi nyuma, km mnaupinga ushoga kwa kusema maadili, vipi ukahaba na udangaji ndo maadili?

Nasemajee hapoo badoo, DC kanyaga twendee, tumechelewa sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aendelee kutwanga maji kwenye kinu
 
Hatoboi

Ova
 
Halafu hako kajamaaa kenyewe ni kamalaya na katapeli. Maadam ameyakanyaga huko, subori uone comeback yake watu wanavyomuweka ubaoni..
 
Ndiyo kipaumbele cha mkuu wa wilaya, tokomeza ...................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…