imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kuna Mkandarasi amepewa azibe viraka kwenye Barabara za Temeke ambalo ni jambo zuri sana, kwa sabababu ilishakuwa kero..
Jambo la ajabu kazidi kuyatanua mashimo halafu katokomea kusikojulikana katuachia adha kubwa kuliko hata ilivyokuwa awali.
TARURA nao wanaona freshi tu hela zetu za Tozo kupigwa.
Mkuu Jokate tembelea mtaa Omar Ally Juma na Yombo ujionee.
Jambo la ajabu kazidi kuyatanua mashimo halafu katokomea kusikojulikana katuachia adha kubwa kuliko hata ilivyokuwa awali.
TARURA nao wanaona freshi tu hela zetu za Tozo kupigwa.
Mkuu Jokate tembelea mtaa Omar Ally Juma na Yombo ujionee.