Mkuyati kusimama simama ovyo

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
380
Habarini wadau,

Jamani nashindwa kuelewa kama nimerogwa au tatizo ni nini yani mkuyati wangu unasimama kila mara hasa nikikutana na binti mrembo, kiukweli napata tabu sana huko mabarabarani na kuna wakati mwingine unasimama tu bila taarifa, sasa sijui ndo tatizo.

Mwenye uzoefu na hii hali aniambie dawa yake.
 
Tafuta mtoto piga miti 6 hours
 
Unawaza ngono sana ndo mana
 
Uzoefu ni kwamba, shule zikifunguliwa mada za namna hii hupungua sana
 
Huna majukumu ndo maana kila muda unawaza hayo, walio na majukumu nafasi ya kuwaza hayo inapungua kila muda wanawaza watoto wataendaje Shule, familia itakula nini etc
 
Siku hizi shida zipo nyingi:
Mtandao ukisoma shida,usipo soma shida yaani......!!!!
 
Kwanza kabisa tujuze una Umri gani
 
dogo waza mambo ya maana... ngono zitakupeperusha!
nenda uwanja wa fisi kawaambie tatizo watakusaidia..!!!
 
Kwa ninavyojua unaweza kusimama wenyewe pindi unapotoka kulala. Hapo huwa hautaarifiani na ubongo ila kama ukiona sketi tu ndiyi unasimama maana yake ni wewe mwenyeww ndiye chanzo. Ukishaweka mawazo ya ngono mara nyingi ubongo huvipa taarifa viungo vyote ambavyo vinahusika na ngono. Hivyo punguza mawazo ya kuvuana chupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…