jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Ni siku chache zimebaki kabla ya kukutana na Algeria ili tufuzu kwenye awamu ya makundi ya kombe la dunia.
Mkwasa afanye nini?
Kikosi kilichoanza kilikuwa vizuri ukiondoa mihemko ya Thomas Ulimwengu.
Ulimwengu hafai kuanza game lijalo.
Cha msingi ni Mkwasa kutafuta viungo wenye uwezo wa kukaba na kupanda na mpira ili wamlishe samatta.
Mkwasa atafute washambuliaji wenye uwezo wa kushambulia na kurudi kukaba.
Kipindi cha kwanza tucheze kama tulivyocheza hapa Dar.
mafoward waongeze ufanisi wa kutumia nafasi...tutupie mbili au zaidi.
beki namba tatu wetu awe active kama alivyokuwa kipindi cha kwanza.
tupambane tumpate midfilder wa kunyanganya mpira na kuusogeza mbele mithili ya mikel obi na gerad!
Hili game tunashinda kabisa ....#hapakazitu
Mkwasa afanye nini?
Kikosi kilichoanza kilikuwa vizuri ukiondoa mihemko ya Thomas Ulimwengu.
Ulimwengu hafai kuanza game lijalo.
Cha msingi ni Mkwasa kutafuta viungo wenye uwezo wa kukaba na kupanda na mpira ili wamlishe samatta.
Mkwasa atafute washambuliaji wenye uwezo wa kushambulia na kurudi kukaba.
Kipindi cha kwanza tucheze kama tulivyocheza hapa Dar.
mafoward waongeze ufanisi wa kutumia nafasi...tutupie mbili au zaidi.
beki namba tatu wetu awe active kama alivyokuwa kipindi cha kwanza.
tupambane tumpate midfilder wa kunyanganya mpira na kuusogeza mbele mithili ya mikel obi na gerad!
Hili game tunashinda kabisa ....#hapakazitu