Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti alihusika na uondokaji wa kihuni wa Lwandamina Yanga?Charles Boniface Mkwasa alikua kiungo mahiri wa Yanga enzi zake wakati anacheza mpira lakini zaidi ya hapo Mkwasa hawezi kazi ya ukocha wala ya uongozi wa juu kwenye club hiyo kubwa na kongwe hapa nchini. Sijawahi kumuamini na kumkubali akiwa kocha wa Yanga au timu ya Taifa wala akiwa kocha au Katibu Mkuu wa Yanga
Ni kweli, amem frustrate kocha kwa incompetence yakeeti alihusika na uondokaji wa kihuni wa Lwandamina Yanga?
Si kweli, Mkwasa was a good player enzi zake and nothing more.....he is neither a brilliant coach nor a visionary club leaderMkwasa ni zaidi ya Lwandamina
Umemaliza kila kituCharles Boniface Mkwasa alikua kiungo mahiri wa Yanga enzi zake wakati anacheza mpira lakini zaidi ya hapo Mkwasa hawezi kazi ya ukocha wala ya uongozi wa juu kwenye club hiyo kubwa na kongwe hapa nchini. Sijawahi kumuamini na kumkubali akiwa kocha wa Yanga au timu ya Taifa wala akiwa kocha au Katibu Mkuu wa Yanga