Mkwasa mchezaji Ajib anakipaji kama Galincha.

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Kwa sisi watoto wa zamani tulikuwa na kumuona mchezaji 'acrobatic' wa Brasil enzi hizo Galincha. Nimekuwa navutiwa na staili ya mchezaji kama huyo hapa nchini kama Ibrahim Ajib Migomba, watatofautiana kidogo tu lakini kama kocha Mkwasa atagundua hili ampe nafasi kama ya mchezaji nguli huyo wa Brasil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…