mkwasa mm sijaelewa ile sub

hernanes96

Member
Joined
May 2, 2015
Posts
16
Reaction score
6
unaongoza gol mbli bila,hata dk ya 70 bado unatoa mtu ambae alikua anafanya kaz kubwa unaweka m2 wa show game
mudathir alicheza vema na himid mao pale kati na kufanya stars kudominate game,coz walielewana sana na ni watu wa kazi full time,kumtoa mudathir kulimuathir mao kwa kua ndemla sio mkabaji kama mudathir na hakua akirudi chini kuchukua mipira,so ilibidi himid afanye kazi mbili kitu kilichosababisha kuelemewa na mzgo ambao hakupaswa,pale ilitakiwa aingie mtu anayeweza kurudi chini kwa haraka kuchukua mipira na kudrive tim kushambulia,pia kuwa sharp kwenye kukaba ili aendeleze uchezaji wa mudathir,sio siri kocha mkwasa "master" kwa ile sub uliua mawasiliano kati viungo na mastraika pia mabeki
fanyia kazi hlo swala sababu linaweza kujirudia tukiwa algeria tukirudiana nao,na kusababisha tukachezea nyng
ni hayo tu
samahani lakini
 
Sasa samahani ya nn wakati ni timu yetu sote na Mkwasa kuchemsha......hata Maguli sub yake haikuwa Ngasa heri hata Msuva.....beki ya kati nayo ishachoka tupange kuwapa nafasi wengine.....makosa yao leo toka first half yalikuwa ya kizembe mno
 
Tulipokuwa 2-0 alitakiwa apange basi. Angewatoa Mbwana Na Ulimwengu (walikuwa badoo Wana uchovu wa mechi ya tp mazembe) for a midfielder & a defender
 
Jana nilijiuliza hv huyu ni kocha aliyecheza mpira kweli ila kila mtu ananafasi Ya kukosea ila unapokosea kwenye majukumu Yako Ya msingi mfano ni majanga daktar akikosea kukupa dozi anakuwa muuaji
 
shukuruni kwa kila jambo alipewa wachezaji 20
 
Walivyoingia, ingetokea magoli yangeongezeka, mngemlaumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…