Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Pia mwulize how is it that mke wake Carl ndiye president wa Sullivan Foundation (Joy Masters)?
Mwisho wa yote nitauliza yafuatayo kwa mpigo .Je maada mkutano Tanzania itakuwa imepata faida gani ? Wangapi wana enda Mbugani kutuachia pesa kidogo ama ZNZ ? Ule ujio wa Bush ume create ajira ngapi na kama bado lini faida za Bush kuwa Tanzania ambazo tulitangaziwa kwa lazima zitaanza kuonekana ?
utashangaa viongozi wa tanzania kushabikia mambo!
kikwete alienda Japan, hajapata hata kumaliza mkutano uzuri kakimbilia zake tanzania ati akawe mfunguzi wa mkutano wa sullivan. ukimuuliza akupe mchanganuo hizo zjira kutoka kwenye mkutano huu zitapatikana vipi.......peupeee!
KUna jambo moja ambalo tumelikosea sana wakati tunashupalia Uadilifu wa Sullivan na ujio wa mkutano huu. Ni opportunity ya kujitangaza kibiashara na kujiingizia kipato.
Hivi, kama tungechanga vijisenti, tukamtuma Halisi au Invisible wakaweka IT Kiosk yenye network babkubwa na ku-charge dola kadhaa kwa saa ka matumizi ya Computer na huduma, je tungejipatia vijisenti vingapi?
Je kama tungeweka mkakati wa kibiashara kwa kutafuta wawekezaji na kuingia nao ubia kungekuwa na ubaya gani?
Hivi kama tungeungana na kutafuta Travel Agent mmoja au vendors wa kutoa huduma na tukatoa best services, je tungejitangaza namna gani na kujiingizia mapato?
Just a thought after the fact, realizing what a missed opportunity simply because I was too critical of everything and saw everything from Ufisadi perspective and not business opportunity.
Unajua huu mkutano ni wa kitapeli tu umepambwa kifisadi fisadi angalieni eti ITV ndio wanahaki ya kuunyesha LIVE mkutano huo jamani hii nimesikia kama ni shughuli inayo husu UTAIFA kwa hiyo itafika kipindi hata maadhimisho ya MUUNGANO vyombo vya habari vitakuwa vinajipa haki miliki kuonyesha kama ilivyo fanya ITV lazima kuna harufu ya kifisadi hapo kwa hiyo TBC1,Star TV na nyinginezo hazina haki kuonyesha mkutano huo mpaka wapate kibali toka kwa ITV duh hii sasa kali.
Angalia kwenye mawasiliano VODA nao wanadai wanafadhili mawasiliano kule wanadai huduma zao ni nafuu kuliko mitandao mingine.....Hivi kuna mtandao gani wenye gharama nafuu hapa TZ kama TIGO ambao umewawezesha walalhoi kuwasiliana kwa longa longa pamoja na etreme kwa gharama chee na huo wa VODA ni moja ya mitandao yenye gharama za juu sana kuliko TIGO,ZANTEL lakini kumbukeni mashareholders ni mafisadi wenyewe wanawakamua sana waTZ wasio jua gharama halisi za mawasiliano.
Je nn tutapata kama wazawa katika mkutano huu?
Je tutegemee kuachiwa mashimo kwenye ardhi yetu kwa mikataba ya miaka 99?
Naona vyombo vya mafisadi vinautangaza sana mkutano huu.
Tusubili machungu tu hapa nyumbani.
Mke wa Carl Masters......ni binti wa marehemu Leon H Sullivan mwenyewe....hence the name Sullivan Foundation.....Leon H. Sullivan Summit.....kwahiyo anasababu ya kuwa President, Chairman...or whatelse she might be kwenye hizo organisation zao!
Kama mlivyosema wengi hapo juu. Mkutano umekuwa ukipambwa sana na vyombo vya habari vya ndani na nje. Lakini hatuelezwi kwa kina kwamba watanzania watafaidika vipi na huo mkutano. Tunachoona sasa hivi (labda ndio faida zenyewe) ni mahoteli kujaa wageni na watu wenye magari kupata tenda ya kukodishwa kwa kiwango cha Tshs 150,000/- kwa siku. Labda wageni wachache watatembelea mbuga zetu pia. Je, hizi ndio faida za Sullivan Summit?
naomba na mimi kuuliza niliwahi kuambiwa nikiwa nje ya tz, kuwa shareholder wakubwa wa vodacom ni lowasa na rostam azizi, na eti rostam yeye ana hisa nyingi kupitia caspian construction na bwana lowasa sijui alphatel, na hata ile bilioni moja waliotoa vodacom kama msaada wakati wa ile njaa ya kuundwana loasa zilitoka kama geresha!
tupashane, kama hili kampuni ni la kifisadi tuanze nalo
Sio hio tu hata majani ya chai......Mkuu Lunyungu niko tIGo siku nyiingihii inanikumbusha dini fulani walitaka kususia coca cola.....!