mkwawa bado haifai kuitwa chuo

We bwanamdogo mpumba.U kweli kweli,unafikiri chuo kikuu ni ukubwa wa majengo siyo?
Kama umeshndwa rudi kwenu ukachome mkaa.
Sijui mnapata wapi jeuri hizi watoto wa maskini!
 
kwa hiyo maboresho yasiwepo
 
me 3year nawapa fact
 
hapa kila kitu cha kugombea.lecture rooms tunabanana sana,hostel ni zile room tangu advance,na hazitoshi watu wanapanga mbali.madem pia wachache sana japo cio lazma.

hamia dodoma university, nasikia miundombinu siyo shida ila uwe tayari kufundishwa na degree holder mwenzako, mademu ni wa kumwaga ila hatari usiende peku vimarekani vimeenea
 
msiukatae ukweli mana nimesoma advance hapa utaniambia nini
 
we must change colonial things
 
:frusty: still loading--------------------------------------------------
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…