Mkwawa hakujipiga risasi kama wajerumani walivyotusimulia, bali aliliwa na simba..

Fundishen vijana kutafta pesa. Wapen vijana elimu ya pesa iwasaidie kutatua changamoto zao za kila siku.
Hizo historia zenu zinawasaidia nn masikini ambao hata pesa ya kula ni changamoto??
Tatizo lako unaichukulia elimu kama NJIA YA KUPATA PESA kitu ambacho sio sahihi.
Lengo la elimu sio kumsaidia mtu apate pesa ndio maana dunia nzima hakuna topic wala somo linaloitwa utajiri au namna ya kupata pesa.
Kupata pesa ni independent skill ambayo mtu ataifunza kwa kutumia real world experience na haijalishi amesoma formal schooling au hajasoma.
Akili zenu watanzania ni kuelekeza lawama za umasikini sehemu isiyo sahihi.
1.Kuna watu wamesoma na wana hela ya kutosha na kuna waliosoma lakini hawana hela.
2.Kuna watu hawakusoma kabisa au hawakusoma kwa kiwango kikubwa na wana hela na wapo ambao hawana hela.

Kama hizo sentensi mbili ni sahihi basi HAKUNA UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA kati ya kusoma na kuwa na hela.

Halafu pia UJASILIAMALI na Biashara sio vitu ambavyo kila mwanajamii anapaswa kuvifanya.
Matajiri wengi huwa ni zao la mchanganyiko wa Ujasiriamali,Biashara,Ubunifu.
Maana yake wewe unataka ili kitu kimake sense kwenye elimi ni lazima kifundishe hivyo vitu sio?
Acha ujinga!
 
Fundishen vijana kutafta pesa. Wapen vijana elimu ya pesa iwasaidie kutatua changamoto zao za kila siku.
Hizo historia zenu zinawasaidia nn masikini ambao hata pesa ya kula ni changamoto??
YE PIA ANATAFTA PESA KWA MTINDO HUU WA KUCOPY NA KUPASTE
 
Nipatie pia na historia ya kinjeketile ngwale na historia ya vita vya majimaji ukifaulu nikupe credit.
 
Kitabu hiko kinapatikana Ibn Hazm Bookshop, karibu na msikiti wa Mtoro (DSM)
 
karibu kalenga Iringa ufungue ubongo juu ya historia ya wahehe mtwa kilonge, mtwa munyigumba, akina mkwavinyika (mkwawa) na wengineo. na biashara zao kuu zilikuwa zipi. utakutana na myalukolo halisi gerald. Achana na vitabu na simulizi za ambao hawajawahi fika hata kalenga yenyewe!
 
wopage isa mguu isa mkwe sikudenya. museams zipo kwaajili ya kujifunza historia za makabila mbalimbali. mkuu yeriko nenda kalenga afu uje uedit upotoshaji wako unaotaka kuufanya kwa wana JF.
 
Fundishen vijana kutafta pesa. Wapen vijana elimu ya pesa iwasaidie kutatua changamoto zao za kila siku.
Hizo historia zenu zinawasaidia nn masikini ambao hata pesa ya kula ni changamoto??
Wewe mbona hujasoma bandiko la pesa badala yake umekuja hukuhuku?
 
Wewe mbona hujasoma bandiko la pesa badala yake umekuja hukuhuku?
Nimekuja kutoa ushauri. Ushauri wangu usingefaa kitu kama ningeitoa kwenye bandiko la pesa.
Hapa ndo mahali stahiki kufikisha ushauri wangu.
Umeelewa??
 
Kwahiyo Wazungu waongo tukuamini wewe Mwafrica alaa
 
Soma Evolution of Human Being utaona hiyo ya binadamu alianzia kuwa nyani/Sokwe.
 
Inasikitisha sana Mkuu.
 
mwaka (1556-1627) karne ya 16 kulikuwa na watu wana PHD?
 
Hapa unaleta mambo ya ajabu, tena bila kutupa chanzo chochote kwa hadithi yako.
Mkwawa kufa Songea??
Basi nenda Kalenga / Iringa, ingia katika nyumba ambako Wahehe wanatunza fuvu la Mkwawa lililorudishwa kutoka Ujerumani. Waeleze kwamba historia yao si kweli na wewe unaleta sasa ukweli.

Nakutakia mafanikio mema!
 
chadema utaajua tu...hao wapinzani wa leo si ndio hao hao walitokea ccm unayoiponda? Kwa sasa ccm kumenoga, ngoja nikahuishe kadi yangu!
nirudi kwa mkwawa...bado akili hainipi kabiasa..mkwawa alikufa kwa kuliwa na simba akiwa peke yake kwenye milimani songea!."milima ya Lukumbulu kwakuliwa na Simba baada ya kuugua aiwa milimani peke yake. "...sasa kama aliliwa na simba akiwa peke yake nali alileta taarifa hiyo kama hukuwepo wakati mgonjwa akifanywa kitoweyo? Nenda tena ukatuletee 'version' nyingine bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…