Mkwawa university college of education

snag

Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Hiv ni kweli chuo cha mkwawa wanaanza course ya stashahada ya ualimu? Mwenye uhakika na hili tafadhari na kama ni kweli vp kuhusu ajira za lecturers na TA's zitatangazwa lini hapo mkwawa
 
Prof. Amandina L. is no longer in ofice, principal wa sasa ni Prof. Bernadeta Killian.
 
lakini kama kweli wanaanzisha hii cozi , lazima wataongeza wafanyakaz hebu tusubiri tuone
 
lakini kama kweli wanaanzisha hii cozi , lazima wataongeza wafanyakaz hebu tusubiri tuone
Duh! huyu anawaza kusoma, ww unawaza kupata kazi...! jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…