Habari zenu ndugu wadau wa JF?
Kwa wale mliochaguliwa MUCE nawapongeza sana.
Ila kuna kozi matata sana inaitwa HISTORY yaan ukijichanganya kuisoma kozi hii ujue hakuna muda wa kulala.
Kiukweli semister zote mbili kozi hii imetuzingua wengi sana.
Kikubwa tuombeane ili tufanikiwe.
I wish u all the best..!
Kwa wale mliochaguliwa MUCE nawapongeza sana.
Ila kuna kozi matata sana inaitwa HISTORY yaan ukijichanganya kuisoma kozi hii ujue hakuna muda wa kulala.
Kiukweli semister zote mbili kozi hii imetuzingua wengi sana.
Kikubwa tuombeane ili tufanikiwe.
I wish u all the best..!