Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Wadau hamjambo nyoote?
Leo nadhani nimepewa zawadi ya boxing day.
Nilitoka na familia yangu mimi na mke wangu na mama mkwe ambaye kaja tu kusalimia nikaona si ubaya tukatoka tukaelekea Luguluni huko. Tukapata sehemu nzuri tukawa tunaongea maisha.
Mara akapita Mmasai mkononi kashika zile fimbo zao zimejaa bidhaa kibao paap.
Shanga zipo nikazuga kucheza na mtoto huyu Mkwe hana aibu kabisa akamuita wife umeona urembo? Chagua hizo tano kwa pamoja, na mimi nachukua hizi nyembamba, nilipigwa na butwaa hasa haya maisha sijazoea huyu mama hana adabu kabisa.
Nawaza usiku huu niliamshe dude kwa Wife ama nitulie tu. Huyu mama kanivunjia heshima sana. Kuna makabila mengine sio kabisa
Leo nadhani nimepewa zawadi ya boxing day.
Nilitoka na familia yangu mimi na mke wangu na mama mkwe ambaye kaja tu kusalimia nikaona si ubaya tukatoka tukaelekea Luguluni huko. Tukapata sehemu nzuri tukawa tunaongea maisha.
Mara akapita Mmasai mkononi kashika zile fimbo zao zimejaa bidhaa kibao paap.
Shanga zipo nikazuga kucheza na mtoto huyu Mkwe hana aibu kabisa akamuita wife umeona urembo? Chagua hizo tano kwa pamoja, na mimi nachukua hizi nyembamba, nilipigwa na butwaa hasa haya maisha sijazoea huyu mama hana adabu kabisa.
Nawaza usiku huu niliamshe dude kwa Wife ama nitulie tu. Huyu mama kanivunjia heshima sana. Kuna makabila mengine sio kabisa