Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Jamaa alikuwa kwenye safari ya kikazi mkoa ambao ndio ukweni kwake. Alikwenda kuwasalimu wakwe akiwa kwenye msafara na wenzake. Kama ilivyo ada ya Kiafrika wakwe walimsihi aende akawasalimie rasmi si kwa kupita.
Siku aliyofika alikaribishwa chakula, pombe, matunda ya msimu. Alijitahidi kumaliza ki portion cha ugali. Mjomba alimuuliza mkwe chakula kimekushinda mtoto wetu unamuweza kweli!