Mkwe wetu wa Kizulu ni mtaalamu bingwa

Mkwe wetu wa Kizulu ni mtaalamu bingwa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kijana wetu wetu alimaliza shahada yake ya uzamili ya ufundi. Alipata ajira za muda mfupi hapa na pale, aliitwa Rwanda, Botswana na kuna wakati alikaa miezi kama mitatu akisaka ajira.

Kuna siku alipata emaile kutoka Afrika ya Kusini. Walimtaka afanye video interview, alifanikiwa hatua ya kwanza na walimuomba a scan vyeti vyake. Kufupisha habari alipata kazi kama fundi mtaalamu huko Kusini.

Baada ya kuzoea maisha alipata binti wa Kizulu wakaanza maisha. Alifunga ndoa na aliita familia yake ishuhudie ndoa yake. Baada ya harusi mama yake alimtembelea sana huko Kusini. Kila mama alipofika hakupenda control aliyokuwa nayo mkwe wetu wa Kizulu kwa kijana wake.

Kumbe mama wa kijana ana ujuzi wa mambo ya Ulimwengu wa kaka Mshana Jr . Usiku mama aliset satellite kuangalia usalama wa nyumba. Kumbe mkwe ana PhD mama alikua mwanafunzi tu. Mkwe alinyuka mama kisawasawa huko angani. Asubuhi wameamka wote damu zimevilia usoni.

Mkwe alimwambia mume wake mama ni lazima aondoke pale kwao haraka na mama akimwambia kijana huyu si mke muache. Mama alirudi Tanzania lakini alipita njia anazojua mpaka ndoa rasmi ilikufa.
 
Kijana wetu wetu alimaliza shahada yake ya uzamili ya ufundi. Alipata ajira za muda mfupi hapa na pale, aliitwa Rwanda, Botswana na kuna wakati alikaa miezi kama mitatu akisaka ajira.

Kuna siku alipata emaile kutoka Afrika ya Kusini. Walimtaka afanye video interview, alifanikiwa hatua ya kwanza na walimuomba a scan vyeti vyake.
Wamama hawapendagi Vijana wao tupotee kwa kuoa familia za Kichawi
 
Leo tunajadili Uchawi tu humu ndani..
emoji2305.png
Baraza jipya limeshaapishwa tunabadilisha topic
 
Kijana wetu wetu alimaliza shahada yake ya uzamili ya ufundi. Alipata ajira za muda mfupi hapa na pale, aliitwa Rwanda, Botswana na kuna wakati alikaa miezi kama mitatu akisaka ajira.
Mama mkwe mwenyewe mchawi halafu anamletea figusu mkwe wake aachike sababu ya uchawi, je na yeye mama mkwe angeletewa hizo figisu na mkwe wake angempata huyo mtoto?
 
Sisi tulifikiri kijana amependa lishepu la Kizulu kumbe nguvu za ziada zilitumika.
Watu hawajiamini wanaongeza na nguvu za ziada, na asikwambie mtu wanawake wanaowaloga waume zao huwa wanajiamini sana...anamfokea mume popote, muda wote mume anakaripiwa.
 
Kijana wetu wetu alimaliza shahada yake ya uzamili ya ufundi. Alipata ajira za muda mfupi hapa na pale, aliitwa Rwanda, Botswana na kuna wakati alikaa miezi kama mitatu akisaka ajira.

Kuna siku alipata emaile kutoka Afrika ya Kusini. Walimtaka afanye video interview, alifanikiwa hatua ya kwanza na walimuomba a scan vyeti vyake. Kufupisha habari alipata kazi kama fundi mtaalamu huko Kusini.

Baada ya kuzoea maisha alipata binti wa Kizulu wakaanza maisha. Alifunga ndoa na aliita familia yake ishuhudie ndoa yake. Baada ya harusi mama yake alimtembelea sana huko Kusini. Kila mama alipofika hakupenda control aliyokuwa nayo mkwe wetu wa Kizulu kwa kijana wake.

Kumbe mama wa kijana ana ujuzi wa mambo ya Ulimwengu wa kaka Mshana Jr . Usiku mama aliset satellite kuangalia usalama wa nyumba. Kumbe mkwe ana PhD mama alikua mwanafunzi tu. Mkwe alinyuka mama kisawasawa huko angani. Asubuhi wameamka wote damu zimevilia usoni.

Mkwe alimwambia mume wake mama ni lazima aondoke pale kwao haraka na mama akimwambia kijana huyu si mke muache. Mama alirudi Tanzania lakini alipita njia anazojua mpaka ndoa rasmi ilikufa.
Mkwe alimwambia mume wake mama ni lazima aondoke pale kwao haraka na mama akimwambia kijana huyu si mke muache. Mama alirudi Tanzania lakini alipita njia anazojua mpaka ndoa rasmi ilikufa.[emoji23]
 
Ndio story ilivyo...just like that? Au Kuna codes bado hazijafunguliwa?
 
Bora niendelee kula pisi kali tu bajeti ikibana sio lazima threesome hata handsome Inatosha, maana kila mtu mwanga siku hizi.. Ntazalisha nakuhudumia mtoto ila SIOWI KAMWE
 
Back
Top Bottom