[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nampendaga [emoji847][emoji847][emoji847]
Sidhani kama anasomaga yuleKuna siku nilichangia mmada kibao, kila mada nikakuta LIKE za Mkwepu Jr,
Tena kagonga LIKE comment zote, sasa nikasema jamaa yangu kasoma mada zote hizi.
Eeenh [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna siku makapuku nilitaka tu aongee na kweli nilimchokoza akanijibu nilimuwish birthday na wala sijui hata birthday lake lini bwana alinijibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemuwao kabisaa
Ndio alivyo hanaga tatizo na mtuIaseee mpwa jamaa yangu huyu anagonga like halafu yuko kimya tu,.....
Hapa ndipo panaponipa mimi maswali mengi.....Sidhani kama anasomaga yule
I see.....Ndio alivyo hanaga tatizo na mtu
Mimi nampendaga [emoji847][emoji847][emoji847]
Mkuu wengine washaelewa hii mada iko kwenye maudhui gani,Mkuu Kataskopos hayo maneno niliyo ya italize kwa red hapo ndio yanaleta ukakasi sio kwa kuangalia neno moja moja, na hata hio creep ina maana nyingi, na sasa tukirudi kwenye maudhui ya mada ndio inanifanya niamini ulimaanisha katika negativity na sio hizo maana nyingne.
Anyway pengne kweli hukumaanisha hivyo, ni katika uwasilishaji tuu.
Mm naona hakuna ubaya, anasambaza upendo,
Na nimeona likes zake nying sana, kiasi kwamba hata mm nikiona sehem ka comment nitampa like.
Sasa mkuu vipi angetembeza DISLIKE kwa kila Comment.
Atagongwa LIKE za kufa mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeenh [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna siku makapuku nilitaka tu aongee na kweli nilimchokoza akanijibu nilimuwish birthday na wala sijui hata birthday lake lini bwana alinijibu
Nikamwambia mkwepu nilitaka nikusikie tu na kweli umeongea
Yule hasomi kabisaa jamani, unaweza kuta nyuzi zote za siku nzima kagonga likesHapa ndipo panaponipa mimi maswali mengi.....
Comment zote hizi huwa anasomaje ?
Mkuu relaaaaaax, hatugombani, twisted yako ulimaanisha nn?Mkuu wengine washaelewa hii mada iko kwenye maudhui gani,
Ushasema TWISTED, CREEP zina maana nyingi sasa nadhani usilazimishe nikubaliane na tafasiri zako.
[emoji1787]
Bwana aliongea jamani kila mtu makapuku alishangaa halafu akawa anatoa tu likes hajibu quotes za watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lile robot
Wewe ni Mkwepu Jr ?Mkuu relaaaaaax, hatugombani, twisted yako ulimaanisha nn?
View attachment 1436534
Ni rafiki yangu.Wewe ni Mkwepu Jr ?
Basi pilipili usiyoila isikuwashe.Ni rafiki yangu.