hawana akili, hawawezi kutusikiliza chao muhimu ni madaraka sio malalamiko ya wananchi, au wagombea.walichokitaka wamekipata kinachofuata ni kutusahau kwa miaka mitano mingine mimi ninachojitahidi ni kupiga kampeni japo watu 5000 niwashawishi waioipa CCM wasiipe mwk 2015