Mlandege wamepiga soka biriani

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Kwa mara ya kwanza nmeona timu ya Kizanzibari ikicheza soka la kikubwa kama vile Al Ahly au Raja Cassablanca. Vijana wana morali na wanajituma kweli kweli sio wanyonge hata kidogo

Simba walijiamini sana walifikiri kwakua Mlandege haipo Klabu bingwa Afrika wakajua ni wepesi kumbe vijana wapo serious na kombe lao

Hongera sana Mlandege, hongera sana Zanzibar

Iwe fundisho
 
Mandege ilichezesha Wachezaji wa ndondo
 
Niamini mimi! Simba siyo timu ya kufungwa kirahisi vile na Mlandege. Yaani timu ya kutoa sare na Al Ahly ya Misri, timu ya kuifunga Wydad Casablanca ya Morocco! Ndiyo ifungwe na Mlandege ya Zanzibar!!

Kuna watu wamepokea muamala bila shaka, ili timu ifungwe!! Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…